Home » » Wavuta bangi wapata kanisa lao,litafunguliwa siku ya bangi duniani April 20

Wavuta bangi wapata kanisa lao,litafunguliwa siku ya bangi duniani April 20

Written By Bizzi on Monday, April 17, 2017 | April 17, 2017


Wapenzi wa bangi na kuabudu wamepata kanisa lao, kanisa hili lipo mjini Denver Marekani na litafunguliwa April 20 ikiwa ni siku ya wavutaji duniani.
Taasisi ya dini Elevation Ministries imetangaza uzinduzi wa kanisa hili la kimataifa International Church of Cannabis, ikiwa ni sehemu ya wavutaji kujiskia huru kuabudu.

Waumini wa kanisa hili wanajiita Elevationists, na Jengo la kanisa hili linamiaka 113 na limerekibishwa hivi karibui…

2 Chainz amesha kubali kufanya show kwenye uzinduzi wa kanisa hili.
Share this article :

No comments:

Post a Comment