Home » » Forbes yatoa orodha ya wasanii wapya wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi 2017

Forbes yatoa orodha ya wasanii wapya wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi 2017

Written By Bizzi on Monday, April 17, 2017 | April 17, 2017


Forbes imeachia orodha mpya ya wasanii wapaya wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi “Forbes Hip-Hop Cash Princes”
Kwenye Oorodha hiyo wapo Bryson Tiller ambaye alikuwa akiingiza $100,000 kwa usiku mmoja kwenye tour yake ya muziki huku akiingiza nyimbo mbeli zilioongoza kwenye chart ya Top 40 na album yake ya TrapSoul ikiwa imeenda Platnum,Desiigner mbali ya nomination ya Tuzo za Grammy, Ngoma yake ya Pandaimeongoza chart nyingi ikiwemo Billboard Hot 100 na pia emepata dili nono la kusainiwa kwenye lebel ya Kanye West G.O.OD Music.

Hii ndio orodha kamili,
Desiigner
D.R.A.M.
Tory Lanez
Lil Uzi Vert
Lil Yachty
Noname
Isaiah Rashad
Stormzy
Bryson Tiller
Young M.A.

Mwaka jana Boi-1da, DeJ Loaf, Fetty Wap, G-Eazy, Joey Bada$$, Lil Dicky, Logic, na Metro Boomin walitajwa kwenye orodha hiyo.
Share this article :

No comments:

Post a Comment