Home » » Hii ndio listi mpya ya matajiri 10 duniani iliyotolewa na Forbes

Hii ndio listi mpya ya matajiri 10 duniani iliyotolewa na Forbes

Written By Bizzi on Monday, April 17, 2017 | April 17, 2017


Jarida linalofatilia maisha ya watu maarufu na mali zao “Forbes” limetoa list ya watu matajiri zaidi duniani, na wakati huu kuna mabadiliko makubwa ya watu waliofanikiwa kuingia kwenye Top 10. Bilionea Bill Gates ameendelea kushika nafasi ya kwanza ikiwa ni mara ya 18 kati ya 23 zilizowahi kutajwa.

Kijana mfanyabiashara wa mitandao Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa mitandao maarufu ya kijamii kama Facebook, Whatsapp na Instagram amepanda mpaka nafasi ya 5 mwaka huu.

Hii ndio listi nzima ya matajiri wa dunia.

Share this article :

No comments:

Post a Comment